Monday, April 21, 2014

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI Simu:022-2110146/2110150/2/211679 Faksi:022-2113271, Tovuti: www.moe.go.tz UTANGULIZI Moja ya mikakati ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi katika kuandaa walimu mahiri ni pamoja na kuhakikisha kuwa wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya Stashahada ni wale wenye ufaulu mzuri katika...

Saturday, April 12, 2014

 Imebainika kwamba asilimia kubwa ya Wanaume wengi wenye kasoro zifuatazo hujikweza sana kwa wanawake kwa njia mbalimbali tu, mfano, msgs, facebook, picha mbalimbali nk... 1. Wanaume WAFUPI.... Hivi vi - andunje huwa havijiamini siku zote.... ni wengi ni wa show off kwa mademu, hasira kwao ni jadi... wanawake wengi huwachukia.... wanajisifia kwa vyote kuficha kutokujiamini  kwao.......