Monday, November 26, 2012

Kocha mpya wa Chelsea, Rafael Benitez amesisitiza kuwa atafanikiwa kuzima uhasama kutoka kwa mashabiki wa klabu hiyo, ambao walimpokea huku wakiwa wamebeba mabango ya kumsifu kocha laiyefutwa kazi. Mashabiki hao walimzomea Benitez, wakati alipojitokeza katika eneo linalotumiwa na maafisa wa kiufundi, na mashabiki wengine walimtusi wakati wa mechi yao dhidi ya mabingwa watetezi Manchester City hiyo jana ambapo timu hizo mbili zilitoshana nguvu ya kutofungana bao lolote. '' wakati mashabiki wanapoimba...
Habari zilizonifikia muda si mrefu zinasema msanii SHARO MILLIONEA AMEFARIKI DUNIA kutokana na ajali ya gari wakati akitoka mkoani Tanga. Tutawapa habari kutokana na jinsi tunavyoendelea kuzipata. namkariri Kamanda wa Polisi Tanga akisema “leo majira ya saa mbili usiku kwenye barabara ya Segera Muheza mtu mmoja alietambulika kwa jina la Hussein Ramadhani au Sharo Milionea akiwa anaendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza alipofika eneo hilo gari lake liliacha...
Mwezi huu, Majimbo mawili nchini marekani yamepiga kura kuhalalisha , kudhibiti na kutoza kodi bangi. Kutokana na matangazo ya kibiashara na sheria za kudhibiti ulevi wa bangi wakati madereva wakiwa njiani , basi tunahoji nini cha mno kinachosubiriwa? Kura iliyopigwa tarehe sita mwezi Novemba katika majimbo ya Colorado na Washington, bila shaka iliwatia furaha watumiaji wa Bangi lakini polisi wengi walilala wakiwa na wasiwasi si haba. Na hatua hiyo ikaleta karibu malumbano kati ya majimbo hayo...

Thursday, November 8, 2012

......its the matter of time before the world get 2 know one among the greatest hiphop mc in sokoine university of agriculture....the bway is hot u know....he started his underground movements the couple of years back! and in this coming friday, he gona make the ground go down along side with some hiphop mc's like izo biznes n joh make....its d tym 2 make d campus go down!!! its time for kabalyrics to make d damn universe watch him....GOD WITH YOU BR...
Kikosi kamili cha wachezaji hao 22 waliotangazwa na Poulsen akiwa jijini Mwanza leo ni: Makipa: Kaseja (Simba) na Deogratias Munishi (Azam) Mabeki: Kelvin Yondani (Yanga), Aggrey Morris na Erasto Nyoni (Azam), Issa Rashid (Mtibwa), Nassoro Masoud ‘Cholo’, Shomari Kapombe na Amir Maftah (Simba). Viungo: Salum Abubakar “Sure Boy” (Azam), Amri Kiemba, Mwinyi Kazimoto, Ramadhan Singano na Mrisho Ngassa (Simba), Athuman Iddi ‘Chuji” na Frank Domayo (Yanga) na Shaaban Nditi (Mtibwa Sugar). Washambuliaji:...
Stori za uhakika nilizozipata muda mfupi uliopita ni kwamba mkali wa Hiphop kutoka A Town ambae alikua anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za wizi wa vifaa vya gari la Ommy Dimpoz, Isack Waziri (Lord Eyes) hivi sasa yuko nje kwa dhamana. Ametoka nje kwa dhamana toka ijumaa ya novemba 2 2012. Oktoba 23 2012 Kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni Charles Kenyela alikaririwaakisema “Watuhumiwa hawa wawili Kurushinde na Lord Eyes tunawashikilia kwa tuhuma zipatazo 30, yani matukio mbalimbali 30...
Wakati wimbo wa Diamond ‘nataka kulewa’ ukitengeneza topic kwenye media kibao TZ na kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ambapo wengi wanasema beat hiyo inafanana asilimia 100 na ile ya beat ya wimbo wa Pasha alomshirikisha Tunda Man ‘Mtoto Amekua’, Manecky wa AM records ambae ndiye aliyetengeneza ‘nataka kulewa’ amesema beat ya wimbo huo ni tofauti kabisa na ile ya wimbo wa Pasha. Producer huyo ambae ndiye mshindi wa kili music awards 2011 kama producer bora wa mwaka alifunguka kwa msisitizo...
KITENDO cha staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu kuwaambia walinzi wake kuwa kama hajatoa maagizo yoyote kwamba mama yake, Mariam Sepetu anakuja, akifika mlangoni asifunguliwe kimewashangaza wengi. Awali, Wema alieleza kuwa, ameweka utaratibu wa watu kuonana naye na kwamba wale watakaokwenda kwake bila taarifa watakuwa wanaishia getini. Maelezo hayo yalimfanya mwandishi wetu amuulize kama hata mama yake akienda kwake bila ‘apointimenti’ hawezi kuingia ndani ambapo alisisitiza kwa kusema kuwa, utaratibu...
hatimaye clement lugendo atoa blog yake........ni kijana mtanashati! mple na mcha Mungu... MUNGU IBARIKI TZ, MUNU IBARIKI S...